Tuesday 23 August 2016

MHE LOWASSA ASHINDWA KUFANYA KIKAO HUKO MBEYA

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo amezuiwa na Polisi kufanya kikao cha ndani na wanachama cha chama hicho Mbarali mkoani Mbeya.
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa leo amezuiwa na Polisi kufanya kikao cha ndani na wanachama cha chama hicho Mbarali mkoani Mbeya.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako