Monday 15 August 2016

MASANJA MKANDAMIZAJI AUKACHA UKAPERA

Hapo jana Jumapili 14 Agosti,2016 Mchekeshaji maarufu na Mchungaji Msaidizi Emanuel Mgaya au maarufu kwa jina la Masanja Mkandamizaji alifunga ndoa na mpenzi wake. Tunawaombea wote maisha mema ya Ndoa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako