Monday 22 August 2016

MASHINDANO YA OLIMPIKI RIO 2016 YAMALIZIKA HUKO BRAZIL

Rio imemaliza michuano ya Olimpiki kwa shamrashamra za aina yake, licha ya mvua kuwanyeshea maelfu wanamichezo pamoja na watazamaji waliofika kushuhudia michezo hiyo kutoka maeneo mbalimbali duniani.
Mwenge wa Olimpiki umezimwa katika uwanja wa Maracana nchini Brazil, na kuashiria michuano ya Olimpiki Rio imemalizika rasmi:
Mashindano ya Olimpiki yanayofuata yatafanyika huko nchini Japan.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako