Sunday 28 August 2016

JUBILEI YA NDOA YA MHE MZEE MKAPA YAWAKUTANISHA MHE RAIS MAGUFULI NA MHE LOWASSA

Rais Magufuli amesema anashukuru hafla ya Jubilei ya Miaka 50 ya ndoa ya Rais mstaafu Benjamin Mkapa kuleta muujiza wa kukutana na kupeana mkono na Waziri Mkuu wa zamani, Mhe Edward Lowassa

No comments:

Post a Comment

Maoni yako