Sunday 21 August 2016

BRAZIL YAITOA UJERUMANI KWA PENATI KATIKA FAINALI ZA OLYMPICS HUKO RIO

Timu ya Taifa ya Soka Olympics 2016 ya Brazili imeshinda Medali za Dhahabu baada ya kuitoa Ujerumani kwa Penati. Timu hizo ambazo zilimaliza muda wa kawaida kwa droo ya 1 - 1 iliongezewa dakika 30 na ikabaki 1-1 ndipo zikapiga penati na Brazil ikapata 5 Ujerumani 4. Penati ya ushindi ilifungwa na mchezaji machachari Neymar.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako