Monday 15 August 2016

USAIN BOLT BADO ATETEA NAFASI YAKE YA UBINGWA MARATHON

Mwanariadha Usain BOLT raia wa Jamaica ameendelea kutetea nafasi yake ya mkimbiaji bora duniani kwa jana kukimbia mita 100 kwa sekunde 9.81 na kujinyakulia medali ya dhahabu ktk mashindano ya Olympics yanayoendelea huko Rio de Janeiro Brazil. Wa pili ni Justin Gatlin wa Marekani amenyakua Silver kwa kumaliza kwa sekunde 9.89 na wa tatu ni Andre de Grasse wa CANADA ametumia sekunde 9.91 na kujinyakulia medali ya Bronze

No comments:

Post a Comment

Maoni yako