Hatimaye Benki ya Wanawake nchini imefungua milango yake rasmi leo yapata saa 2:30 asubuhi, na kama uonavyo pichani wateja si wanawake tu bali na kinababa pia. Hii ipo mtaa wa Mkwepu.Hii inakuja huku kukiwa na wimbi la wizi wa mamilioni ya watu yaliyohifadhiwa benki (Rejea NMB Temeke)
TADB yafikia amana ya Sh. trilioni 1.3
23 minutes ago
sasa ije benki ya wanaume
ReplyDelete