Saturday 11 July 2009

JK AFUNGUA HOTELI YA KITALII

JK na mmiliki wa hoteli ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski Bw. Ali Al Bwardy wakifungua kitambaa kuashiria kuzinduliwa kwa hotelui hiyo jana asubuhi. Hoteli hiyo ya nyota tano ina vyumba 80
Mandhari ya hoteli mpya ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski iliyofunguliwa na JK katika mbuga ya Serengeti leo asubuhi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako