JK na mmiliki wa hoteli ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski Bw. Ali Al Bwardy wakifungua kitambaa kuashiria kuzinduliwa kwa hotelui hiyo jana asubuhi. Hoteli hiyo ya nyota tano ina vyumba 80 Mandhari ya hoteli mpya ya kitalii ya Bilila Lodge Kempinski iliyofunguliwa na JK katika mbuga ya Serengeti leo asubuhi
Mpenda nyumbani nimeamua kuungana nanyi kuwaletea blog hii maalum inayowapa habari za nyumbani Tanzania na habari toka sehemu mbalimbali lakini zenye lengo la kuelimisha,kukosoa,kupongeza na kuburudisha jamii. Karibuni Nyumbani!
No comments:
Post a Comment
Maoni yako