Sunday 12 July 2009

JUMAPILI NJEMA WADAU

Ni bora hata ungeenda kanisani kuliko kucheza na Beberu, Wewe sio mbuzi,inakuwaje wataka kupigana nae vichwa, akikupasua hicho kichwa je?

Wapendanao haooooooooooo, nao waelekea Kanisani wewe je?

Au jana ilikuwa hivi nini?

1 comment:

Maoni yako