Saturday 11 July 2009

WADAU WEEKEND IMESHAFIKA, WAPI SASA? AU NI ...........


Picha hii inanikumbusha sana "enzi za Mwalimu" ambapo wadau wa wakati ule walikuwa wakijimwagamwaga sehemu hizo maarufu. "Mwafrika Bar" ilikuwepo kila eneo la nchi. Siku hizi mmmmm utaambiwa twaenda "Mango Garden, Coco Beach, Msasani Club, Friends Corner tukawaone Twanga Pepeta n.k. Zile Mwafrika Bar na kina Masantula wao ziko wapi tena?

1 comment:

Maoni yako