Friday 31 July 2009

MAMILIONI YAKOMBWA NMB TEMEKE

Hii sasa kazi maana tunatafuta kwa jasho na kula nako kwa wizi wizi.Maisha bora haya jamani sijui yatatufikisha wapi?Askari wakiweka doria sehemu ya tukio
Majambazi yaliyo na Silaha na mabomu ya kurusha kwa mkono leo asubuhi majina ya saa 5:20 walivamia Benki ya NMB tawi la Temeke na kupora kiasi kikubwa cha fedha. Pia yaliua mlinzi mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi na kujeruhi wengine 13 wakiwamo askari Polisi wawili.

1 comment:

  1. hawa akina ras makunja wanafanya nini? na magitaa yao?

    ReplyDelete

Maoni yako