Majambazi yaliyo na Silaha na mabomu ya kurusha kwa mkono leo asubuhi majina ya saa 5:20 walivamia Benki ya NMB tawi la Temeke na kupora kiasi kikubwa cha fedha. Pia yaliua mlinzi mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi na kujeruhi wengine 13 wakiwamo askari Polisi wawili.
Bilioni 75.4 Zatikisa Arusha DC, Wanafunzi 20,000 Kunufaika
33 minutes ago
hawa akina ras makunja wanafanya nini? na magitaa yao?
ReplyDelete