Tuesday 14 July 2009

TUFUNGUE MACHO AU?

Badala ya kukaa na kujilaumu kwamba maisha magumu, pengine tunaweza kufanya ubunifu kama huu wa hawa wenzetu. Lakini kuna maswali mengi; gari hili litapita wapi na barabara zetu hizi?, na hayo mabehewa vipi? Ni changamoto tu ya nini kifanyike kuboresha maisha yetu.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako