Tuesday 7 July 2009

SABASABA DAY

Leo ni Sabasaba, siku ambayo miaka iliyopita tulisherehekea sikukuu wa wakulima. Hii ni katika kukumbuka siku ya kuzaliwa TANU 7/7/1954 chama kilichopigania uhuru wa Tanganyika baadae Tanzania

No comments:

Post a Comment

Maoni yako