Thursday 2 July 2009

MPANGO KATIKA PICHA HUTIA NAKSHI

Timu ya Taifa ya Italia

Timu ya Taifa ya Uingereza

Hawa ni wachezaji wa Timu ya mpira ya Nyumbani Tanzania (JK Eleven), Si dharau ila cheki walivyojichanganya.
Wachezaji wa Zesco ya Zambia, hata kama ni kutembea, walau kampango kidogo kuonyesha utulivu kichwani na mwilini.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako