Tuesday 14 July 2009

UFUGAJI WA KUIGWA

Pichani ni Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pinda(Kushoto)akiwaonyesha sungura watoto wa Kijiji cha Matumaini cha Dodoma kinacholea watoto yatima ambao aliwaalika nyumbani kwake Mjini Dodoma,Julai 12, 2009
Picha na maelezo kwa hisani ya Haki Ngowi

No comments:

Post a Comment

Maoni yako