Thursday 30 July 2009

JAMANI MAISHA HAYA!

Kweli maisha Bongo yanagonga si utani. Ni mchana wa jua kali, mzee huyu ameamua kujilaza hapa.Pengine ni kwasababu ya uchovu wa kazi, pengine ni njaa, pegine ni kukosa sehemu ya kupumzika. Haya yote yanatokea nyumbani Tanzania huku msisitizo ukiwa ule ule wa kuwapatia raia "Maisha bora", lakini kama hali ndio hii tunajiuliza "maisha bora kwa kila mtanzania" yapi?

No comments:

Post a Comment

Maoni yako