Friday 19 February 2016

WAJUE WANAFUNZI WALOSHIKA NAMBA 1 na 2 KITAIFA KIDATO CHA NNE 2015

Huyu ndiye mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha Nne 2015, Butogwa Charles Shija kutoka Canossa Sekondari ya Wasichana
"Mtanzania" Congcong Wang, mwenye asili ya China; ameshika Nafasi ya PILI KITAIFA, huku akipata Divisheni 1.7 yenye 'B' ya Kiswahili!
Amemaliza Kidato cha Nne FEZA GIRLS - 2015

No comments:

Post a Comment

Maoni yako