Huyu ndiye mwanafunzi bora wa kwanza Kitaifa katika Mtihani wa Kidato cha Nne 2015, Butogwa Charles Shija kutoka Canossa Sekondari ya Wasichana
"Mtanzania" Congcong Wang, mwenye asili ya China; ameshika Nafasi ya PILI KITAIFA, huku akipata Divisheni 1.7 yenye 'B' ya Kiswahili!
Amemaliza Kidato cha Nne FEZA GIRLS - 2015
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
44 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako