Wednesday 3 February 2016

HUDUMA YA UMEME VIJIJINI "REA"

Tunaipongeya serikali kwa juhudi kubwa kuhakikisha Nishati ya Umeme kupitia mpango wa REA inawafikia wananchi wengi hasa wa Vijijini. Ila mie kwa muonekano wa huduma hizi zinavyotolewa napata maswali. Mojawapo ni je Hawa wahusika wwatoaji huduma hii wamekuwa pia wakiyingatia suala la USALAMA kwa namna wanavyounga Umeme huo. Mdau hebu nawe jaribu kuchambua kwa mwonekano wa picha hizi kutoka Kijiji kimoja huko Tanga

No comments:

Post a Comment

Maoni yako