Wednesday 17 February 2016

KARIBUNI MGAHAWA "MASANJA WALI NYAMA"

Emmanuel Mgaya a.k.a Masanja Mkandamizaji siku ya jana amezindua Mgahawa wake wa Kisasa unao fahamika (Masanja Wali Nyama) Maeneo Ya Tabata Magengeni Karibu na CRDB BANK. Shughuli hiyo iliyo anza saa mbili usiku na kumalizika saa tano usiku, ilipambwa na waimbaji mbalimbali wa muziki wa Gospel akiwemo Miriam Jackson,Emmanuel Mbasha,Faraja Ntaboba,Mc Makondeko,Stella Joel pamoja na Wachungaji,Mitume na Manabii.
Sura ya Mgahawa huo
Mmiliki wa Mgahawa huo Masanja Mkandamiyaji katika taswira mbalimbali na Wadau
Baadhi ya Watendaji/Wahudumu katika Mgahawa wa "Wali Nyama"

No comments:

Post a Comment

Maoni yako