Friday 26 February 2016

MSIBA: MWANAMUZIKI MKONGWE MZEE KASSIM MAPILI AFARIKI DUNIA

Nimepokea taarifa kutoka kwa Mwenyekiti wa Shirikisho la Muziki Tanzania na mwimbaji wa muziki wa injili Ado November ambazo zinasema nanukuu ” Nimepokea kwa Masikitiko Makubwa Taarifa za Kifo cha Mzee wetu Mzee Mapili”…
Breaking News…. Tanzia…. Mwanamuziki Mkongwe Kassim Mapili amefariki leo jioni baada ya kuonekana hajatoka Chumbani kwake kwa Muda Mrefu…. Ndipo mlango ukavunjwa nyumbani kwake Tabata Matumbi… Mzee atakumbukwa kwa Kibao cha Napenda Nipate Lau Nafasi na Rangi Ya Chungwa…Taarifa zaidi zitawajia…!! Plz call 0744150000 Kama una swali… Nawaomba wanamuziki wote Tujitoe kwa wingi kumpa heshima Mzee wetu Mapili….!! Addo November Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania..!!
Mwanamuziki mkongwe wa muziki dansi Kassim Mapili akicharaza nyuzi za Gitaa lake chini ya Kundi zima la Mjomba Band

No comments:

Post a Comment

Maoni yako