Friday 19 February 2016

DARAJA LA KIGAMBONI LAKAMILIKA KWA ASILIMIA 99.5

daraja hilo la Kigamboni Jijini Dar es Salaam linatarajiwa kuwa limekamilika hivi karibuni baara ya njia ya kuingia na kutoka katika Daraja hilo kukamilika ujenyi wake. Linasubiriwa kwa hamu sana maana ni kiungo kizuri kati ya sehemu hizi mbili za Jiji la Dar ambapo kwasasa wanahudumiwa zaidi na Ferry/Kivuko

No comments:

Post a Comment

Maoni yako