Wednesday 24 February 2016

VURUGU ZASABABISHA CHUO KIKUU (ARUSHA CAMPUS) KUFUNGWA

Uongozi wa Chuo Kikuu cha St. Joseph tawi la Arusha umekifunga chuo hicho kwa muda usiojulikana baada ya wanafunzi kufanya vurugu chuoni hapo.

Inaelezwa kuwa, wanafunzi wa chuo hicho wamekuwa katika hali ya wasiwasi wakihofia chuo chao kufungwa na serikali kama kilivyofungwa St. Joseph tawi la Songea

Wanafunzi wote wameamriwa kuondoka chuoni na wametakiwa kusoma magazeti au kutembelea tovuti ya chuo hicho ili kujua hatima yao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako