Thursday 18 February 2016

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YAMETOKA

Baraza la mitihani Tanzania limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2015 yanayoonesha kiwango cha ufaulu kushuka kwa asilimia 0.80. Akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo Dkt Charles Msonde amesema kuwa jumla watahiniwa 272,947 sawa na 67.53% ya watahiniwa wote waliofanya mtihani wa kidato cha nne 2015 wamefaulu

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/CSEE2015/indexfiles/index_m.htm

http://tanzania.go.tz/matokeo_2015/CSEE2015/indexfiles/index_m.htm

No comments:

Post a Comment

Maoni yako