Monday 15 February 2016

AGIZO LA MHE.RAIS MAGUFULI YAANZA KUTEKELEZWA MUHIMBILI

AGIZO la Rais John Magufuli la kuibadilisha jengo la maofisa wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, limetelekezwa baada ya jana maofisa hao kuondoa vifaa vyao.
Waziri wa Afya ,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Watoto na Wazee Mhe. Ummy Mwalimu akipokea vifaa kutoka kwa Mkurugenzi wa Bohari ya Dawa yaTaifa Lauren Rugambwa Bwanakunu vitakavyotumika katika wodi ya Afya ya uzazi ya Mama na Mtoto katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili wa pili kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Hospitali ya Muhimbili Prof Lawerence Mseru na nayefata ni katibu Mkuu wa wizara hiyo Mpoki Ulisubisya
Mafundi wakifunga vitanda katika jengo hilo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako