Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka Makamanda wa Polisi kote nchini kuendesha oparesheni kali ya kuwachukulia hatua kali za kisheria waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wasiotii sheria za usalama barabarani ikiwemo kubeba abiria zaidi ya mmoja, kupita katika taa nyekundu pamoja na kutovaa kofia ngumu
(Taarifa hii kwa hisani ya Frank Geofray wa Jeshi la Polisi.)
RIDHIWANI AKABIDHI PIKIPIKI KWA MAO FISA UGANI CHALINZE
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako