Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu amewataka Makamanda wa Polisi kote nchini kuendesha oparesheni kali ya kuwachukulia hatua kali za kisheria waendesha pikipiki maarufu kama bodaboda wasiotii sheria za usalama barabarani ikiwemo kubeba abiria zaidi ya mmoja, kupita katika taa nyekundu pamoja na kutovaa kofia ngumu
(Taarifa hii kwa hisani ya Frank Geofray wa Jeshi la Polisi.)
HALI YA USALAMA JIONI HII NOVEMBA 10, 2025
46 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako