Wednesday 10 February 2016

TIMU YA TAIFA YA DRC YAPEWA ZAWADI NONO BAADA YA USHINDI

Timu ya Taifa ya DRC baada ya ushindi wa Kombe la Afrika yaliyofanyika Kigali/Rwanda waliporudi nyumbani kwao wakapokelewa na Rais wao Mhe.Josepph Kabila na wakakabidhiwa zawadi ya Prado kwa kila mchezaji.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako