Monday 28 July 2014

VIONGOZI VIJANA MHE. JOSHUA NASSARI NA STEPHEN MASELE KUKUTANA NA MHE.RAISI OBAMA LEO

Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe Joshua Nassari akizungumza wakati wa tafrija ya chakula cha jioni baada ya mahafali ya kuhitimu mafunzo ya wiki tisa kwa viongozi vijana toka nchi mbalimbali za Afrika yaliyokuwa yakifanyika chuo kikuu cha Arkansas nchini Marekani
Ukumbi ambapo Mhe raisi Obama atazungumza na Vijana viongozi wa Afrika wanaoonyesha dira (the most promising young African leaders)

No comments:

Post a Comment

Maoni yako