Friday 25 July 2014

SIKU YA MASHUJAA TANZANIA YAFANA-VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salama ya Heshima mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini dar es Salaam jana katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa
Kwa mbali ni jengo jipya karibu na Jengo la Ushirika ambalo miaka ya nyuma ndilo lilikuwa jengo refu maeneo hayo

No comments:

Post a Comment

Maoni yako