Tuesday 15 July 2014

MBUNGE WA KALENGA Mhe. GODFREY MJIMWA ATOA MSAADA WA BATI

Katika kutekeleza ahadi zake kwa wanajimbo lake tangu achaguliwe kuwa Mbuge kushika nafasi ya Marehemu Baba yake, Waziri wa Fedha W.Mjimwa, mbunge huyu ametoa msaada wa bati katika Vijiji vya Usengerendeti na Muhanzi.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako