Friday 4 July 2014

BARABARA YAANGUKA BRAZIL

Barabara ya juu huko Brazil yanakofanyikia mashindano ya Kombe la Dunia mwaka huu, imeanguka. Hata hivyo mamlaka husika zinafanya kila linalowezekana kuhakikisha mawasiliano ya barabara hiyo yanarudi inavyotakiwa mara moja

No comments:

Post a Comment

Maoni yako