Monday 14 July 2014

UNYENYEKEVU WA VIONGOZI WETU KUWAUNGANISHA WAFANYABIASHARA WADOGOWADOGO

Mhe.Jakaya Kikwete, Rais wa Tanzania akiwa na mke wake Mama Salma wakinunua mahitaji ya nyumbani katika genge la mbogamboga huko Tanga
Mhe Barack Obama Rais wa Marekani akinunua chakula katika sehemu ya makulaji iitwayo Chipotle.
Mke wa Raisi wa Marekani mhe Michelle Obama na wanawe,wakinunua chips na kuku katika kibanda kidogo cha kuuza chakula maarufu kama Take Away
Rais wa Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta na Makamu wake Mhe William Ruto wakipata chakula chini ya mti huko Kajiado wakiwa safarini wakitokea Arusha Tanzania kwenye kikao.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako