Monday 7 July 2014

MSAADA KUTOKA KWA MHE.RIDHIWANI KIKWETE-MBUNGE CHALINZE

Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete akijaribu moja ya vitanda 267 na magodoro yake alivyotoa kama msaada kwa shule 7 (Chalinze, Moreto,Kiwangwa,Mandera, Talawamda,Lugoba, Kikaro) katika Jimbo lake la Chalinze. Hafla hii ilifanyika katika Shule ya Sekondari Lugoba.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako