Thursday 17 July 2014

MALAYSIA AIRLINE MAJANGA TENA

Ndege nyingine ya Shirika la Ndege la Malaysia,imeanguka mpakani mwa Ukraine na Urusi na inasadikiwa watu wote waliokuwemo wamefariki. Ndege hiyo MH17 ilikuwa inatokea Amsterdam Uholanzi kwenda Kuala Lumpur ikiwa na abiria 280 na wafanyakazi 15
njia ya ndege hiyo na mahali ilipopoteza mawasiliano
Picha zaidi za tukio

No comments:

Post a Comment

Maoni yako