Wednesday 16 July 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YAMETOKA

Wanafunzi wa Kidato cha sita mwaka huu walifanya mitihani yao ya kuhitimu mwezi Mei 5/21. Matokeo ya mitihani hiyo tametangazwa leo ambapo kiwango cha ufaulu kinaridhisha. Watahiniwa 38,905 waliofanya mtihani wamefaulu. Ingia http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE.html kuangalia matokeo hayo.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako