Wednesday 9 July 2014

UJERUMANI YAINGIA FAINALI KWA KISHINDO

Timu ya Ujerumani imeingia Fainali za kombe la Dunia kwa kishindo baada ya kuichapa Timu ya Brazili kunakofanyikia mashindano hayo magoli 7 kwa 1. Mpaka kipindi cha kwanza kinamalizika Ujerumani ilikuwa mbele kwa mabao 5-0. Bao la Brazili la kufutia machozi lilifungwa na Oscar dakika za nyonyeza muda mfupi kabla ya mpira kumalizika.
baada ya kipindi cha Pili kuanza, hili ndo lilikuwa swali la mashabiki wa Brazili.
Wachezaji wa Ujerumani wakishangilia moja ya magoli yao
"Fainali tumeikosa ndugu yangu...."

No comments:

Post a Comment

Maoni yako