Wednesday 9 July 2014

UZALENDO UMEWASHINDA

Baada ya kipigo cha goli 7-1 hapo jana usiku dhidi ya Wajerumani, mashabiki wa Brazili wameshindwa kujizuia na kukuta hasira zao zinawapeleka kufanya haya
Bendera ya Taifa Brazil na Basi vikichomwa moto

No comments:

Post a Comment

Maoni yako