Monday 14 July 2014

JIJI LA DAR LAZIDI KUPENDEZA

Mwonekano wa Jiji la Dar maeneo ya Mchafukoge na Kariakoo. Katikati ni Bustani ya Mnazi Mmoja mahali sherehe za Uhuru 1961 zilifanyika. Kwa mbali mbele ni Bandari ya Dar es Salaam

1 comment:

Maoni yako