Saturday 5 July 2014

SHILINGI MIA TANO YA SARAFU KUJA HIVI KARIBUNI

sarafu ya shilingi mia Tano inatarajiwa kuzinduliwa na Benki Kuu ya Tanzania. Sarafu hiyo itatumika sambamba na noti za shilingi mia Tano huku zikiwa zinaondolewa taratibu. Hayo ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki na Sarafu wa Benki Kuu ya Tanzania Bw. Emanuel Boaz.
Mfano wa Sarafu ya 500 kama iliyoonekana katika Banda la Benki Kuu katika maonyesho ya Sabasaba jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Maoni yako