Picha hii inanikumbusha sana "enzi za Mwalimu" ambapo wadau wa wakati ule walikuwa wakijimwagamwaga sehemu hizo maarufu. "Mwafrika Bar" ilikuwepo kila eneo la nchi. Siku hizi mmmmm utaambiwa twaenda "Mango Garden, Coco Beach, Msasani Club, Friends Corner tukawaone Twanga Pepeta n.k. Zile Mwafrika Bar na kina Masantula wao ziko wapi tena?
SERIKALI YAPANGA MABORESHO YA MFUMO WA STAKABADHI GHALANI
15 minutes ago
Ni kweli sasa ni wikiend labda hapo patafaa:-)
ReplyDelete