Msemo unaojiri mjini kwa sasa ni kuwa Mvua nazo zinawajibika kunyesha kikamilifu kwa kuogopa kutumbuliwa. Ni muhimu kwa wale wanaoishi sehemu hatarishi kutafakari mara mbili maana japo ni hali ya maisha imepelekea waishi huko lakini kwa madhara ya mvua hii pia hali za maisha yao zinazidi kuwa mbaya.
WALIMU WA TABORA WACHANGAMKIA KLINIKI YA SAMIA
2 hours ago
No comments:
Post a Comment
Maoni yako