Friday 29 April 2016

JIJINI DAR HAKA NAKO NI "KAJIPU UPELE"

Kufuatia uchafuzi mkubwa wa Mazingira Jijini Dar na penginepo nchini, katika kipindi hiki cha mvua hali ya kitaro kuziba imekuwa kitu cha kawaida. Tunaomba hatua zichukuliwe kutumbua haka kajipu upele

No comments:

Post a Comment

Maoni yako