Inapofika Ijumaa kwa baadadhi ya Shule zetu, wanafunzi wanaona bora ili wapate mapumziko nyumbani maana maisha ya shule kwao inakuwa ni mzigo. Je elimu waipatayo na mazingira wasomayo yanawapa furaha na hamu ya kuendelea kujifunza?
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
27 minutes ago



No comments:
Post a Comment
Maoni yako