Mwanafunzi wa Darasa la Saba, Adam Abdul Sapi (13) ametawazwa kuwa Chifu mpya wa Wahehe, akirithi nafasi ya baba yake, aliyefariki na kuzikwa mkoani Iringa.
Mhe Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mazishi ya aliyekuwa Chifu wa Wahehe Abdul Sapi Mkwawa, akiwa katika dua na Chifu Mpya wa Wahehe.
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
28 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako