Mbunge wa Mbinga Magharibi, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Mkurugenzi wa TOT Band, Captain John Komba amefariki jioni hii katika Hospitali ya TMJ jijini Dar. Mipango zaidi mtajulishwa baadae. MUNGU AIPOKEE ROHO YAKE PEMA AMEN.
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
31 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako