Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
NI DHAMBI KUBWA KWA MWANAUME WA KIHADZABE KUTAHIRIWA.
8 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako