Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
27 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako