Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
HII NDIO ADHABU YA KUCHEPUKA KATIKA KABILA LA WAHADZABE
42 minutes ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako