Hawa ni Tour Guides wakiwa wamewabeba watalii. Jamani hata kama ni kutafuta pesa si mtindo huu sasa tutarudi kule kule enzi ya utumwa. Haipendezi.
(Picha na maelezo kwa hisani ya DJ.SEK BLOG)
KARMA YA UONGOZI: SOMO KWA WANAOHAMASISHA MAANDAMANO
11 hours ago

No comments:
Post a Comment
Maoni yako