Baada ya uvumbuzi huu wa kuburudika Coca na.... basi kila mtu anahangaika jina lake lionekane katika makopo ya Coca. Ila jiulize umefanya nini kustahili hayo. Mwenzio aliyetengeneza Coca alikaa chini akawaza afanye nini kutengeneza kinywaji kinachopendwa dunia nzima. Ni muda wa kuamka na kufanya mambo sio kutaka vya bwerere.
"Mbona jina langu silioni?"
Bora hata huyu
NI DHAMBI KUBWA KWA MWANAUME WA KIHADZABE KUTAHIRIWA.
7 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako