Kivuko hiki ambacho kiliingizwa nchini mwishoni mwaka jana kitakuwa kinafanya safari zake kati ya Dar es Salaam na Bagamoyo.
Mhe.Waziri wa Ujenzi John Magufuli akiwa katika kivuko hicho katika safari ya majaribio kwenda Bagamoyo
Wapeni watoto wenu mlo wa asubuhi kabla ya kwenda shule
28 minutes ago


.jpg)
No comments:
Post a Comment
Maoni yako