Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk. Charles Msonde, ameongea na waandishi wa habari jana na kusema kiwango cha ufaulu mwaka huu kimepanda kwa asilimia 12.67. Shule binafsi zimeendelea kuongoza, huku mwanafunzi wa kwanza ni msichana kutoka shule ya Sekondari Baobab, Nyakaho I. Marungu.
Kuona matokeo www.issamichuzi.blogspot.com
NI DHAMBI KUBWA KWA MWANAUME WA KIHADZABE KUTAHIRIWA.
9 minutes ago


No comments:
Post a Comment
Maoni yako