Wednesday 4 February 2015

ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI NCHINI TANZANIA

Rais wa Ujerumani Mhe. Joachim Gauck yupo nchini kwa ziara ya siku Tano.
Akisalimiana na Askofu Dk.Malasusa wa KKKT alipotembelea kanisa la Azania Front Dar es Salaam
Akisalimiana na Mhe,Rais Kikwete baada ya kuwasili viwanja vya Ikulu-Dar
Nyimbo za Taifa za mataifa haya mawili Ujerumani na Tanzania zikiimbwa
Akikagua gwaride la heshima
Ujumbe wa Rais wa Ujerumani kwa Rais wa Tanzania

No comments:

Post a Comment

Maoni yako