Saturday 14 February 2015

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE NA QT 2014

Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk. Charles Msonde, ameongea na waandishi wa habari jana na kusema kiwango cha ufaulu mwaka huu kimepanda kwa asilimia 12.67. Shule binafsi zimeendelea kuongoza, huku mwanafunzi wa kwanza ni msichana kutoka shule ya Sekondari Baobab, Nyakaho I. Marungu.
Kuona matokeo www.issamichuzi.blogspot.com

No comments:

Post a Comment

Maoni yako